Sanaaakumbe na wewe unatumiaga hizi anasa😋
Operesheni punguza mwili naona inakwenda vizuri [emoji23]
Hapo unashiba kwel mkuu?
Hii mboga ya mayai inapikwaje mkuu nifundshe
Hiyo kama nyeusi ni nini mkuu?
Ini na firigisiHiyo kama nyeusi ni nini mkuu?
Unajua kulipika vizuri?Mambo yangu
🚶♀️🚶♀️
mihogo iheshimiwe😋
Kwakweli...mihogo iheshimiwe😋