Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

FB_IMG_1694277128023.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
baada ya mama ntilie kupandisha bei ya wali kutoka 1500 mpaka 2000.nikasema acha ninunue jiko nianze kupika mwenyewe.bwana wee kinachonikuta ni zaid ya majanga.nikiweka maji meng yanatoka madida.niseme nipunguze wali unatoka mbichi.nikiweka chumvi inazid nikisema nipunguze yaan inapungua kabisa kama sijaweka.heshima kwa wapishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom