Uzi wa vyakula tu

Tafuta hela 2k ya wali sio hela ya kulialia kama vipi kula ugali wa 1k inatosha we si ndo umeanzisha uzi wa kulialia ulitaka upewe bure au? Anunue mkaa, viuongo, vyombo, mchele, mboga, alipe wasaidizi na yy apate faida kwa buku. Wewe ni mjinga [emoji817][emoji817]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…