Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
HongeraView attachment 2846980
View attachment 2846981
View attachment 2846982
View attachment 2846983
So nilijaribu baking vanilla sponge cake, not bad kwa mara ya 1, tho parchment paper sikujua jinsi ya kuikunja vizuri, keshokutwa tutajaribu louisa cake ya Newzealand. [emoji846]
Hongera
atii..................!Steamer atakuta uji,
Hiyo hata kuchemsha haichemshwi.
Maji moto tu,chumvi mafuta kiasi then upishi kitaalam inaitwa blanchering.
Dk 10 unaziopoa.
Zishaiva consistency👌.
Hahaa lijenge tu shavu na kitambi..
kwani huku hamna malimao🤣Hahaa lijenge tu shavu na kitambi..
unamaintain upisi kali sio...nikila na uma hata uwa sifaidi kufyoza mpk mwisho 😂 mshamba_hachekwi View attachment 2847221
Malimao yameadimika…kwani huku hamna malimao🤣
😂 kujikutaaa sasaunamaintain upisi kali sio...
kilichobaki ununue kamba tu uanze kuruka🤣Malimao yameadimika…
Mwenzako nishaacha kuvaa crop top
Mambo si mambo unaambiwa.. nikitokea kinaanza kitambi 🤣🤣
😂😂 nguvu ninazo sasa? Uvivu umenijaakilichobaki ununue kamba tu uanze kuruka🤣
weekend unatembea mpaka pale philips na kurudi, au mpaka club d🤣😂😂 nguvu ninazo sasa? Uvivu umenijaa
😂😂 nataka tu tumbo ndo liende zake maana skuliitaweekend unatembea mpaka pale philips na kurudi, au mpaka club d🤣
pole sana
Hapo mimi nakula kuku na hizo mbogamboga 😒
hupendi wali? aiseeHapo mimi nakula kuku na hizo mbogamboga 😒
Kooni tu haipiti! Kula wali labda niwe sina hela.hupendi wali? aisee