View attachment 2860132
View attachment 2860133
So i went to this arabic restaurant and I ordered rice and chicken, the rice was kinda different so i gathered my courage and i asked the chef for the recipe, he gave me 1 then yesterday i tried it,[emoji3] gotta say until now it’s the best simple recipe i ever had
Itabidi uje ufungue a restaurant chain[emoji23]
hiyo ni butter chicken?
It goes way better with garlic naan than riceI tried greek yogurt instead of butter[emoji16] ni a bang
Nigawie hiyo recioe tafadhali
It goes way better with garlic naan than rice
naan is very tricky to make though[emoji23]
Ooh inaonekana nzuri sanaaa aise huo mchanganyiko ndio shida sasaView attachment 2860144
He gave me these spices, hadi now I know ni mixture of dried dates, pilipili nyembamba, hiriki kuna some sort of dried hard nuts sijui ndio nn[emoji23] basi spices zingine zilizo kwenye hyo mixture sijui ni zipi,
but you boil maji na hizo mixture till boiling hot then unaweka mchele for 10 minutes then drain the excess water, rudisha mchele jikoni weka mafuta ya mzeituni but moto mdogoo, seal the pot u are using ( the secret ni mvuke ) cook in 15 minutes.
Ooh inaonekana nzuri sanaaa aise huo mchanganyiko ndio shida sasa
😂😂😂 next time muulize uwe na karatasj na kalamu kabisaShughuli yaanzuia hapo
[emoji23][emoji23][emoji23] next time muulize uwe na karatasj na kalamu kabisa