babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Lizzy njaa jamani mpk nilie😔
Chicken tika massala mkuu.Itabidi uje ufungue a restaurant chain😂
hiyo ni butter chicken?
DaJane(dejane) nakuita,Ooh inaonekana nzuri sanaaa aise huo mchanganyiko ndio shida sasa
Afadhali nadoea hapo tugawane tutashiba.
Chicken tika massala mkuu.
Ndo mana nyanya ya kutosha imehusika
oya mshana....hii ni nini? mbona kama moyo wa mnyama asiyeeleweka
Pwezaoya mshana....hii ni nini? mbona kama moyo wa mnyama asiyeeleweka
anhaa!dah! sorry niliwaza ufala sanaPweza
Hapana mkuu wangu supu ya pweza iyooya mshana....hii ni nini? mbona kama moyo wa mnyama asiyeeleweka
Leo umenipa dochi tena dr wangu,hapa njaa balaa😁.