Karibu mkuu kuna restaurant flani iv ipo kkoo ni ya wa Kongo huwa naenda kula hapo nkiwa na mishe ya kkoo huwa wanapika vyakula dizain kama vya kwaoDah[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Jr[emoji769]
Nimekipenda hicho chakula kuna siku nitatia timuKaribu mkuu kuna restaurant flani iv ipo kkoo ni ya wa Kongo huwa naenda kula hapo nkiwa na mishe ya kkoo huwa wanapika vyakula dizain kama vya kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama ni usiku inabidi usilale na mtu maana huo mchanganyiko mixer yai hakuna usalama
Tutauana jamani. Nimeisikia njaa mpaka kwenye miguu..Ugali wa muhogo, samaki na kisamvu na pilipili [emoji39] View attachment 849303
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji39][emoji39][emoji39]Ugali wa muhogo, samaki na kisamvu na pilipili [emoji39] View attachment 849303
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu kuna chimbo zingine kama mbili hivi nazenyewe wana mdudu proper.
Mi si nlikwambiaga we ukasema unalikubali sana lile chimbo lakoAfu kuna chimbo zingine kama mbili hivi nazenyewe wana mdudu proper.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaaa.. chimbo langu wako vizuri ujue. Hata ile bar kubwa hawakuti kale kachimbo.
Hahaha
Hahaha we hujamuonja vizuri wa eprow kule ungetubuHahahahahaaa.. chimbo langu wako vizuri ujue. Hata ile bar kubwa hawakuti kale kachimbo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa pale nilionja sema sijui nikamuonaje na niko nae karibu ila toka mwaka umeanza sijawahi enda pale.
Afu kuna chimbo zingine kama mbili hivi nazenyewe wana mdudu proper.
Sent using Jamii Forums mobile app