Congrats[emoji7]
Yaah, surely.Mom raised me better
👍👍afadhali una hobby ya namna hiyo.hivi vyakula vya migahawani sio powa kabisa,Amna mbona kawaida tu, ni side hobby so nikiwa home alone during weekends and holidays I prefer using my free time for cooking
Kitu gani mkuu?👍👍afadhali una hobby ya namna hiyo.hivi vyakula vya migahawani sio powa kabisa,
ni kwasababu tu ya shida ndo tunavila, nishawahi kuta kitu cha ajabu sana kwenye maharagwe
ya mgahawani
big g( iliyotafunwa)😕Kitu gani mkuu?
Bakisha dejane naja😋
Unaendeleza ufala wako,we jamaa ni mpuuzi sana.