Nakuja kukutajia. Moja uko jirani nayo kabisa unatembea tuZinaitwaje? Naomba majina yake na sehemu zilipo, tafadhali.
Upo mitaa ya kitaa??Wa pale nilionja sema sijui nikamuonaje na niko nae karibu ila toka mwaka umeanza sijawahi enda pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna errands flan nazifanya pande flan nikiwahi kugeuka ntakuja pande hiz. Saivi napanda dalala chuma kimekaukiwa wese..[emoji12] [emoji12]
Unafeli. Mutu mukubwa unakoseaje mafuta bwanaaa. Mpaka umalizane nazo ntakua nshalala wallah.Kuna errands flan nazifanya pande flan nikiwahi kugeuka ntakuja pande hiz. Saivi napanda dalala chuma kimekaukiwa wese..[emoji12] [emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, ntakucheck kwa phone kama utakua bado hewaniUnafeli. Mutu mukubwa unakoseaje mafuta bwanaaa. Mpaka umalizane nazo ntakua nshalala wallah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie wifi apunguze mafuta. Next time akupikie samaki wa nazi utaenjoy zaidiSamaki flan iv amazing na wali was Nazi amazingView attachment 849670
Sent using Jamii Forums mobile app
OK powa Mkuu zimefikaMwambie wifi apunguze mafuta. Next time akupikie samaki wa nazi utaenjoy zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app