πunaandaa jambo baya sana hapo
hiyo cream liquor sio powaπ
Mkuu,Hahaha mbona mtamu sana, tena chapati za haya mafuta ya ng'ombe ya samli tamu sanaaa
Hahaha mbona mtamu sana, tena chapati za haya mafuta ya ng'ombe ya samli tamu sanaaa
Village pale opposite. Kuna ka food point kapya.
Relini au
Leo mi ntakunywa maji tu,nakula kwa picha