Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 653
- 3,404
Nitumie Laiv Lokeshen Kule Wasapu Tafazarizebosleidi.Mkuje mchukue mojamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitumie Laiv Lokeshen Kule Wasapu Tafazarizebosleidi.Mkuje mchukue mojamoja
Njoo uchukueNitumie Laiv Lokeshen Kule Wasapu Tafazarizebosleidi.
Hii imekaa vizuri sana...
na kitimoto inakua x100😋Fav for Northzone mshamba_hachekwi View attachment 2901658
Bila kusahau parachichi 🤣na kitimoto inakua x100😋
Hii ni wapi mkuu
Kungekuwa na kapilau/wali kidogo pembeni ningelamba simu!🤤😵Fav for Northzone mshamba_hachekwi View attachment 2901658
hiyo bamia umeipikaje? yaani uliipitisha kwenye wese tu au vipi
Unaichemsha tu na chumvi kidogo unaweza kamulia limao kidogo sekunde 35 au 40 mi napenda ziwe mbichi mbichi sipendi ziive ziwe lainihiyo bamia umeipikaje? yaani uliipitisha kwenye wese tu au vipi
maana sioni hata rangi ya nyanya.
hebu nipe maujanja namna ya kuitoa dizaini hiyo
aisee! ahsante Dejane.ngoja nami nitajaribu kuipika.Unaichemsha tu na chumvi kidogo unaweza kamulia limao kidogo sekunde 35 au 40 mi napenda ziwe mbichi mbichi sipendi ziive ziwe laini
Mi kiujumla napenda kula mboga mboga ambazo hazijaivishwa muda mrefu na zisiwe na nyanyaaisee! ahsante Dejane.ngoja nami nitajaribu kuipika.
nimependa muonekano wake,nahisi zitakuwa nzuri
Nimemiss ugali. Mara ya mwisho nimeula Dar dec 😂
mboga za namna hiyo zinakuwaga na mwonekano mzuri sanaMi kiujumla napenda kula mboga mboga ambazo hazijaivishwa muda mrefu na zisiwe na nyanya