Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Kungekuwa na kapilau/wali kidogo pembeni ningelamba simu!🤤😵

Mideko kuna siku huwa anakua nostaligic, anatembelea zake post za zamani alafu anatukumbusha na sisi kwa likes!☺️😁
Haha uwa mnapenda sana kuwekapo ka pilau. Ila haifikii utamu wa kande lenye nazi na peanut liliwe na parachichi.

Mideko bana amelike pilau la Xmas 🤣
 
2e6a8aba1ed15f3a904cdf3aab3a8c65.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom