mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
siboreki, ntakula home😂😂 huboreki? Nyongeza na ndizi, chips
sogelea na ndizi…siboreki, ntakula home
chipsi, mihogo napiga😂
chai ndo sinywi ni ushamba
Huku wengine ugali ndio Valentine wetu nisipokula week naumwa😁.Nimemiss ugali. Mara ya mwisho nimeula Dar dec 😂
huo wali mbona kama umezidishwa maji( bokoboko)Wali mixer kuku wa kiitaliano
View attachment 2905442
mbona mifupa mitupu yakhe
Lizzy color ya hayo matunda🥰
Unafikiri huu ni wali kama wa kwenu huko Tanzania ndio maana mnakatiwa umeme Kila mda🤣😁huo wali mbona kama umezidishwa maji( bokoboko)
Mashavu yataongezeka sipati picha😁
Jamani....🤣🤣🤣🤣Unafikiri huu ni wali kama wa kwenu huko Tanzania ndio maana mnakatiwa umeme Kila mda🤣😁
😁😂🤣🤣Jamani....🤣🤣🤣🤣
Sijapenda ulivyotufokea wala vumbi wote, kisa tu mtu mmoja!😏😁😂🤣🤣
😂😁😁Jamani nisamehe Dr LizzySijapenda ulivyotufokea wala vumbi wote, kisa tu mtu mmoja!😏