Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba hizo zenye mafuta...🤤
Dah hiyo shepu[emoji1544][emoji1544][emoji23]Papaya[emoji39][emoji39]
View attachment 2912564
Hizo ni mbaya. Nataka nizimalize nianze dietNaomba hizo zenye mafuta...🤤
Mbaya...??🙄 Bila hizo hamna kitu.Hizo ni mbaya. Nataka nizimalize nianze diet
Salmon, hatakagi tabu huyo dk 5 kaiva unakula.
Kuhusu mambo ya vyakula na kula kula, nami pia niliwahi kuuliza Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani...
[emoji173][emoji173][emoji173]Kuhusu mambo ya vyakula na kula kula, nami pia niliwahi kuuliza Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
P
Pm yangu inasumbua kidogo. I need some privacy sasa sijui tunaweza kujaribu jambo?Niko hapa mpenzi, talk to me!
Nimejaribu kukutumia mimi...imefika? If not, tutaangalia namna yakufika huko Jambo .🙂Pm yangu inasumbua kidogo. I need some privacy sasa sijui tunaweza kujaribu jambo?
Imefika lakini text haifunguki.Nimejaribu kukutumia mimi...imefika? If not, tutaangalia namna yakufika huko Jambo .🙂