Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

FB_IMG_1709828476901.jpg
 
My fav baada ya SUNKIST!

Depal nunua basi unitamanishe!😌
Yesuu
Siupendi huo mkate 🤣🤣
Naonaga unakaba koo.

Kuna bakery flani wana mkate wanauwekea na zabibu, ndio nautumia. Pia natumia butter toast basiii
mmenikumbusha mbali sana supa toast, sunkist Ile ya mfuko wa purple, sakina bread....

akida mkate wa kule moshi nilikua nakula kwa bibi

mikate imenilea hiyo
 
Back
Top Bottom