Uzi wa vyakula tu

Mchanga

Kichefuchefu?? Serious? [emoji23][emoji23]
Unaweza size ndogo unamix zako na bamia/ nyanyachungu.

Dagaa nyasi ndio gani?
[emoji23][emoji23][emoji23] mie dagaa wa aina zote situmii, afu toka mdogo.

Yaan nikisikia harufu yake, napatwa na kichefu chefu.

Dagaa nyasi ni km hawa wa mchanga kwa kuwatazama, ila wenyewe wanakua walaini na hawana mchanga, japo wakavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…