Uzi wa vyakula tu

KasieπŸ˜˜πŸ˜‹
 
I love this italian, badly family wanadisapoint sana wanapenda maspagheti ya sukari na mimi tofauti kabisa.

Hii nikikuandalia utafurahi hizo spaghetti hazikatwi zinachemshwa nzima nzima zinalegea kwenye maji moto.

Yeah pure Italian cuisine, I cook it same way... tambi zinakuwa nzima nzima sizikati na saa ya kupakua natumia kamwiko flani hivi kamazichota bila kuzikata.
Kwenye kula sasa ndo hiwa nazikata ama laah niwe hotelini ndo nile kwa kuzizungisha kwenye uma bila kuzikata.
Nikiwa nyumbani nakula kwa starehe 🀣🀣🀣🀣 no sturesi za hotelini...

Hapo familia wanapoweka sukari kwenye hizo spaghetti watakuwa wanapenda kuzila kama futari...

Siku uende sokoni uwanunulie zile tambi za kutengeneza kienyeji zinakuwa nyembamba nyembamba zinauzwa kwa kupimwa kwa kilo au mafungu mafungu.

Hizi sasa wakizipika kama futari na kutia sukari na nazi na hiliki, bwaanaa weeh...!!!πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ hii dunia tamu bwana acha tuu wanawake tunafaidi zaidi sababu tuna midomo miwili πŸ€ͺπŸ€ͺπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ.
 
 

Attachments

  • IMG_0946.jpeg
    681.2 KB · Views: 6
We kwa maneno unatisha...
Sema uandishi wako na mpangilio wa maneno hauchoshi kusoma.. Big Up Mkuu...
 
We kwa maneno unatisha...
Sema uandishi wako na mpangilio wa maneno hauchoshi kusoma.. Big Up Mkuu...

Aaawwwww....!!!! Am blushing you know...😊☺

Si unajua sifa zinalevya...😍🀩🀩.

Thenkyuuu πŸ˜‰.

Aahahahaha sema nini, sikuhizi nimepunguza kuandika...

Those years back nikiweka uzi kuke MMU aahahahahaa akili ya Kasinde huwa haiishiwi tafakuri....

Simulizi zote ni matukio yake na nini ubongo unafikiri kwa wakati huo... like what next...😁😁.
 
Mdomo wa pili uko wapi huo? Nasikiaga tu mna masikio matatu!!πŸ˜„πŸ˜„πŸšΆπŸšΆ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…