Ugali je?
Ndio naupika hapa [emoji41][emoji41]Ugali je?
Nzuri sna hii mboga za majani zipo wapKaribu sana chips samaki [emoji41][emoji41] Cc ephen_ min -me yaii kwa juu[emoji41][emoji41]View attachment 3071214View attachment 3071215
Amekula anitta π€£πNzuri sna hii mboga za majani zipo wap
Ila hustling acha tu.Ya alizeti Yale ya singida
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] Cc ephen_Ila hustling acha tu.
Nakumbuka kitambo mi nasoma mtukutu tu Singida huko tumekamua sana hayo mafuta aisee kiwanda kilikua kimoja tu hapo mjini.
Kuna washkaji Yusuph na J4 aisee walitafuna sana watoto hapo mtaani kisa wanafanya kazi kwenye hicho kiwanda.
90s-92 hiyo.