Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Aahahahhaa umenifikirisha....

Ntafanya jambo moja.... wacha nivute upako wa kupika. Tena ntaiunga na karanga, utapenda mwenyewe na ugali πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.

Viazi vitamu ntapika tena vile vya rangi ya orange.
Na vile chakula kwangu ni kama mahaba, usihofu huwa sifanyi ajizi kwenye hayo maeneo mawili. Vitu vinhine vyote ntasubiria ila sio mahaba au chakula...πŸ˜…πŸ˜….

Umenitia hamasa, ngoja nikusanye mahitaji halafu niingie jikoni na kaboka, kikiiva nakuita uje kula...πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹.

Ila Mzab bwanaa...😁😁😁😁 eeheheheheee.
Tena umenikumbusha...vile viazi vitamu vya orange ni vitamu sanaaaa
 
DA45CD65-5D3D-47C5-AC33-993F665CC58E.jpeg
 

Attachments

  • 75C336C6-1073-412B-887D-0C654A555D63.jpeg
    75C336C6-1073-412B-887D-0C654A555D63.jpeg
    365.4 KB · Views: 6
  • A6BA5BE9-1CDA-49AD-AEE1-5B2A93D44B1C.jpeg
    A6BA5BE9-1CDA-49AD-AEE1-5B2A93D44B1C.jpeg
    324.5 KB · Views: 10
Hivi Chief kwa kiswahili tunamuitaje...!!?

Kuna raha ya kuuliza usiseme nigugo tafadhali....

Sasa huyu chefu hana nia nzuri na afya yangu, ona anavyonilisha.....

IMG-20241104-WA0003.jpg


Ham sandiwichi na mazaga yake...

IMG-20241104-WA0014.jpg


Mazaga by the side was potato salad and fried pickle πŸ˜‹.
 
IMG-20241104-WA0009.jpg


Buleki fastii was sausage link and harsh browns πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹
Accompanied by oatmeal πŸ˜‹.

IMG-20241104-WA0008.jpg


Mwana mbuzi meemeee....

Majani mabichi nayo ni mlo, yakasindikizwa na thupu ya tambi na kuku.... wasn't bad...

IMG-20241104-WA0007.jpg


Finitooo....
 
Back
Top Bottom