Woow!! Mdojolela
Yanaonekana matamu.Cooked with love [emoji180][emoji177][emoji173][emoji178]
View attachment 3220426
Yameiva....[emoji39][emoji39][emoji39]
View attachment 3220427
Yakaiva tena.....
Haya yalikaangwa kwenye mafuta, ladha mbili tofauti na kuoka kwenye oven [emoji7][emoji7].
Ni mahaba tuu, hakuna jingine.
Alamsiki [emoji112].
Nilikuwa nasubiri hapaππππCooked with love ππβ€π
View attachment 3220426
Yameiva....πππ
View attachment 3220427
Yakaiva tena.....
Haya yalikaangwa kwenye mafuta, ladha mbili tofauti na kuoka kwenye oven ππ.
Ni mahaba tuu, hakuna jingine.
Alamsiki π.
Nilikuwa nasubiri hapaππππ
Yanaonekana matamu.
Nitarudi Madaba kula huu ubwabwa
Huu mpunga mtamu sana, ukute umeiva we unagonga tu matonge kijiko tupa kule.
Unaweza kula mpaka ukauliza kwenu wapi?