Mandi ya Wasomali Johannesburg View attachment 3221575
Kesho hiyo mandi lazima nikalecc mzabzab Mandi hii hapa, jozi moja πππ.
Wacha wee!! Bibi kwa mapishi uko [emoji91][emoji91][emoji91]Kwakweli sema ladha ya hiliki haikusikika kabisaa. Ntarejea tena jikoni nisemezane na ngano. Safari ijayo ntakanda na tui la nazi...[emoji39][emoji39].
Kesho hiyo mandi lazima nikale
[emoji39][emoji39]
Wacha wee!! Bibi kwa mapishi uko [emoji91][emoji91][emoji91]
Mie nashushia na sparkling water lime flavoured baridi sanaaaaUende na mtindi, ina pilipili..πππ.
Hizi ni kau kau?
Kienyeji kabisaa.