Anaitwa nani huyo? Au hujampa jina bado?View attachment 3251098
Anadekaaa, kila unapoenda anakufata...!!!π.
Nimekumbuka yule wa jirani yako....π Monkey Pie Nyani Ngabu
Anaitwa nani huyo? Au hujampa jina bado?
Kwani huja download DoorDash na UberEats kwenye simu yako? πWoow, looks yummy πππ, imeniongezea njaa na sina upako wa kuingia jikoni kupika.
Kwani huja download DoorDash na UberEats kwenye simu yako? π