Dah chapati nne bilaHuu Uzi unatakiwa uchangamke Asubuhi subuhi namna ile [emoji116] View attachment 878048
Pishi jipya hili nini??Tambi zege +mtindiView attachment 877810
Ukijamba,huo ushuzi wake sasaTambi zege +mtindiView attachment 877810
Mbona wali unaogelea kwenye ndizi,halafu mshana always unakula kwenye baaChukua hichiView attachment 877825
Ina unakaa kwa shemejiKitu cha pilauView attachment 878590
Kutamanishana sasa huku#Kitu roho inapendaView attachment 876970
Aisee unatamani ugali,Kutamanishana sasa huku
Napenda ugali kuliko wali...na hizo mboga ndiyo kabisaa...bahati mbaya ninaokaa nao hawali mlenda so napata shida kula mwenyeweAisee unatamani ugali,
Jamani pole, hata mimi napenda sana ila ni wanawake wachache sana wanapenda ugali ndiomana nimeshangaa, HongeraNapenda ugali kuliko wali...na hizo mboga ndiyo kabisaa...bahati mbaya ninaokaa nao hawali mlenda so napata shida kula mwenyewe
Ha ha ha asante.Jamani pole, hata mimi napenda sana ila ni wanawake wachache sana wanapenda ugali ndiomana nimeshangaa, Hongera
Ha ha ha asante.
Labda kwako mkuu lkn sio jipyaPishi jipya hili nini??
Umeshajaribu kula na kujamba mkuu?Ukijamba,huo ushuzi wake sasa
😂😂😂kwannIna unakaa kwa shemeji
Hyo sahan tu,nlivoiangalia[emoji23][emoji23][emoji23]kwann
Mwanaume Wa dar nasikia hawezi kumaliz a hizo NNE, vipi mshana tupe actual infoDah chapati nne bila
Bonge la ugaliii, wapi huko?