nilihisi! Maana nimezaliwa Tandika,DAR hiyo mihogo mitamu hivyo (hata kwa macho) ilikuwa Soko la Temeke Hospital au Sterio nadhani ilikuwa inatoka Lindi/Kilwa , mmmmmmh huo mnafu nadhani siujui umenitamanisha, nikifika Tz ndio itakuwa chakula cha kwanza kutafuta, natamani ningejua wapi nikifika nawaonyesha picha hata waseme subiri masaa 2mnafu huoo..Tz apa
ChristJesus!!
Kitu ya Arusha hiii
Haiwezekani blaza
hakika mkuuHaiwezekani blaza
Full diet, msosi kamili haswa finyango mbili ila mboga kibao lazima ushibe dahhakika mkuu
Mwenye ameburn hizi Cd namtafuta
mboga saba kwa 1000, hahaaahFull diet, msosi kamili haswa finyango mbili ila mboga kibao lazima ushibe dah
[emoji3][emoji3]karibu sananilihisi! Maana nimezaliwa Tandika,DAR hiyo mihogo mitamu hivyo (hata kwa macho) ilikuwa Soko la Temeke Hospital au Sterio nadhani ilikuwa inatoka Lindi/Kilwa , mmmmmmh huo mnafu nadhani siujui umenitamanisha, nikifika Tz ndio itakuwa chakula cha kwanza kutafuta, natamani ningejua wapi nikifika nawaonyesha picha hata waseme subiri masaa 2
Unapenda mixer mixer... ee wali na ndizi hapo hapo
Huu apa karibuUgali samaki ndio chakula ninachoagiza hapa napata kweli
Ata mm nmeuliza kwa vyakula tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa vyakula tuu... Vingine sichanganyi[emoji23]