Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

mnafu huoo..Tz apa
nilihisi! Maana nimezaliwa Tandika,DAR hiyo mihogo mitamu hivyo (hata kwa macho) ilikuwa Soko la Temeke Hospital au Sterio nadhani ilikuwa inatoka Lindi/Kilwa , mmmmmmh huo mnafu nadhani siujui umenitamanisha, nikifika Tz ndio itakuwa chakula cha kwanza kutafuta, natamani ningejua wapi nikifika nawaonyesha picha hata waseme subiri masaa 2
 
.
IMG_20180928_122122_2.jpg
 
nilihisi! Maana nimezaliwa Tandika,DAR hiyo mihogo mitamu hivyo (hata kwa macho) ilikuwa Soko la Temeke Hospital au Sterio nadhani ilikuwa inatoka Lindi/Kilwa , mmmmmmh huo mnafu nadhani siujui umenitamanisha, nikifika Tz ndio itakuwa chakula cha kwanza kutafuta, natamani ningejua wapi nikifika nawaonyesha picha hata waseme subiri masaa 2
[emoji3][emoji3]karibu sana
 
Back
Top Bottom