Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Hhhhhh ntakwambia tu.Ntakutekea nn wkt kama ni misosi ndo unanishinda hvyoo
Wooow na hizi ni ww??Hhhhhh ntakwambia tu.
Angalia na hizo.View attachment 898104
Hizi sijaanza kujaribu ila maelekezo naweza vizuri.Wooow na hizi ni ww??
OkeyHizi sijaanza kujaribu ila maelekezo naweza vizuri.
Nifunze kuipikaHome made Pizza,najaribu tu.View attachment 896207
Usijali kipenzi ntakufunza.Nifunze kuipika
[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]Nilichogundua nyinyi wanawake mnapenda sana zawadi na pia mnapenda sana vyakula.
Kwaio kukaa kwangu nikaanza kutamani sana kujua kupika,leo hata kma ntakua na mshkaji wangu wa kike na nikaweza kumpikia vizur basi sijui kwanin hunikubali tu bila kushusha voko.
Asee we mbea kinyamaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ulikua wap leo tumemwona chaliiifransisco
Kajipost yeye badala ya msosi[emoji3][emoji3](natania)
Nakupa go ahead itume siulisema ume save [emoji23]Yaan ilikua ndizi mixer wali
Karibu Hajar, sijawahi kukuona humu. Sasa mimi kama katibu wa uzi nakuomba leo utupie lunch yako humu [emoji3][emoji23]Duuh! Nimekuja na mie nijilie kwa macho maana si kwa misosi ya kiasi hiki jamaani.
Hahahahaaaa. Lol. Nimefurahi kukufahamu Katibu.Karibu Hajar, sijawahi kukuona humu. Sasa mimi kama katibu wa uzi nakuomba leo utupie lunch yako humu [emoji3][emoji23]
Unaruhusiwa kutupia jamani. Unajua pamoja na kuitesa minyoo yetu lakini tunajifunza recipies nyingi ambazo tulikuwa hatuzijui.Hahahahaaaa. Lol. Nimefurahi kukufahamu Katibu.
Mie nimekuja nione tu na sio kutupia Chalii. Hahahahahaaaa
Oooh. Nitajaribu kutupia siku moja Usijali mdogo wangu.Unaruhusiwa kutupia jamani. Unajua pamoja na kuitesa minyoo yetu lakini tunajifunza recipies nyingi ambazo tulikuwa hatuzijui.
KaribuOooh. Nitajaribu siku moja Usijali mdogo wangu.
AhsanteKaribu
Nmekusamehe bureeNakupa go ahead itume siulisema ume save [emoji23]