Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Ntakutekea nn wkt kama ni misosi ndo unanishinda hvyoo
Hhhhhh ntakwambia tu.
Angalia na hizo.
IMG_20181014_175517.jpg
 
Nilichogundua nyinyi wanawake mnapenda sana zawadi na pia mnapenda sana vyakula.
Kwaio kukaa kwangu nikaanza kutamani sana kujua kupika,leo hata kma ntakua na mshkaji wangu wa kike na nikaweza kumpikia vizur basi sijui kwanin hunikubali tu bila kushusha voko.
[emoji54][emoji54][emoji54][emoji54]
 
Back
Top Bottom