Nilidhani Wa gomz maana ...
Ndo walivyo wapemba..mi sehemu nyingi nikienda naulizia kama wapo. Wana viungo vyao flani hivi doh mtihani kwa kweli ukizoea[emoji39]Kuna sehemu panaitwa kwa Mpemba ni gmboto mwisho, ukila leo utarudi kesho kesho kutwa na mtondogoo ila siri ya mpemba ukiijua ni shida
Aaah jamaniJamaa viazi anavyopikia chipsi kuna mtu alimuonaga kua anatumia maji ya maiti na pia hata vifaa inadaiwa ni viungo vya binadamu ila
Sawa mkuuTulia usipande Gari usilolijua
Naona unacheza na minyooo.
Nimekaribia Ahsante.Wapenzi wa ugali mlenda na dagaa tujuane [emoji14] View attachment 899769
Niko hapa.Wapenzi wa ugali mlenda na dagaa tujuane [emoji14] View attachment 899769
Hahahahaaa. Kwanini??Naona unacheza na minyooo.
Sasa hapo ili vinoge unaviweka vyote kwenye sahani ugali na mboga zake.. Dagaa tamu bwana kuku anasubiriWapenzi wa ugali mlenda na dagaa tujuane [emoji14] View attachment 899769
Kwa msosi unaopiga wew huo simalizi masaa mawili minyoo inawika.Hahahahaaa. Kwanini??
Hahahahaaa..Kwa msosi unaopiga wew huo simalizi masaa mawili minyoo inawika.
Angalau nimepata mwenzangu [emoji23]Niko hapa.
Upate na pililili na maji ya baridi..mtu unakula hadi wanakuinua hahaSasa hapo ili vinoge unaviweka vyote kwenye sahani ugali na mboga zake.. Dagaa tamu bwana kuku anasubiri
Alibakari nilisikia yupo masomoni ila babulakibaha sikupata taarifa zakeNaanzaje kuwakacha [emoji14]
Sometime net inanigomea nakuwa vijijini, ikikubali unakuta nimeshakula nimesahau picha si unajua. Simuoni Ali Bakari na Babu, wameenda wapi [emoji1] [emoji1]
Ebana eheee!!!Karibuni wapendwaView attachment 900264
Wanashauri usiku ule msoci lainiiiEbana eheee!!!