Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kweli naonaKatika pita pita nikakutana na hii chai ya moto ikaniunguza. Ya kweli hayo? Jamaa niliona one time alipiguwa sana promo na masanja mkandamizaji
Lol..dagaa bila mlenda mimi nehiiHuu ugali bado nauwaza mpaka saiv. Sema mlenda mimi noooo sili kabisaa.
Hapo ugali uwe wa motooo na dagaa zimekolea pilipili unakula huku unatoa majasho [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] nitaula leo usiku
Hili swali limenichekesha[emoji23] [emoji23]Mzee wa Man U wewe hulagi? [emoji3]
[emoji39]
Samaki tu mkubwa, sana unashiba na kusaza
Asante.. Unashiba kweli hapo tena umekula mapema saizi?Karibuuu
Chapat moja tu huwa inanitosha sasa leo vile nimepiga ndefu inabidi nifidie tu hakuna namna [emoji85][emoji85]Asante.. Unashiba kweli hapo tena umekula mapema saizi?
Chapat moja tu huwa inanitosha sasa leo vile nimepiga ndefu inabidi nifidie tu hakuna namna [emoji85][emoji85]
Yes double.Ni double fries au? [emoji39]
Kitu cha pilauView attachment 878590
[emoji23][emoji23][emoji23]umefanya kuedit si mchezoInna leo unaona nini hapo?View attachment 902684
Mborea ndo nn mkuu??Mborea hiyo
una vidole vzrUsiku mwema!View attachment 902790
Samadi yakeMborea ndo nn mkuu??