Uzi wa vyakula tu

Hii ni Kali,siwezi kula hii
Kiongozi.

Hiyo Kitu unaingiza, ni faida tupu Mwilini.

Virutubisho vya hali ya juu.

Wale wazee wa Viagra ningewashauri wahamie kwenye Virutubisho hivi.

Lazima waje na Mrejesho wa haja, na kuikubali bidhaa hii Adimu kwa Asilimia zote
 
[emoji115] [emoji115] [emoji115] Leo niko na mchemsho wa samaki[emoji8] [emoji8] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

"Nakwenda Swaziland, a.k.a Mswati IV"[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hatarious

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…