Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

M
Chura imeshatayarishwa kwa ajili ya Machomaji, karibuni sana Wadau.


frog-legs-do-not-taste-like-chicken.jpg
Mkuu harufu,vyakula unavyoonyesha daaaa!!!
 
Hii ni Kali,siwezi kula hii
Kiongozi.

Hiyo Kitu unaingiza, ni faida tupu Mwilini.

Virutubisho vya hali ya juu.

Wale wazee wa Viagra ningewashauri wahamie kwenye Virutubisho hivi.

Lazima waje na Mrejesho wa haja, na kuikubali bidhaa hii Adimu kwa Asilimia zote
 
8017c74afad09764b5512c40f66802aa.jpg
[emoji115] [emoji115] [emoji115] Leo niko na mchemsho wa samaki[emoji8] [emoji8] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

"Nakwenda Swaziland, a.k.a Mswati IV"[emoji125][emoji125][emoji125]
 
8017c74afad09764b5512c40f66802aa.jpg
[emoji115] [emoji115] [emoji115] Leo niko na mchemsho wa samaki[emoji8] [emoji8] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

"Nakwenda Swaziland, a.k.a Mswati IV"[emoji125][emoji125][emoji125]
Hatarious

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom