Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Mkuu hio ni nin?
Kitu cha sembe sio mchezo.
2naitaga alshabab_- samakia asiena mfupa,tambi,chapat za maji,beans ,chachandu na viungo vngne,Mkuu hio ni nin?
Mchanganyiko wa sembe na dona boss[emoji39]Kitu cha sembe sio mchezo.
Apo nimekubali al-shabab hio mix sio mchezo.2naitaga alshabab_- samakia asiena mfupa,tambi,chapat za maji,beans ,chachandu na viungo vngne,
Unaweza kula na juice au soda,
Kiukweli hio dona naiskia tu natamn siku moja nionj.Mchanganyiko wa sembe na dona boss[emoji39]
So hujawahi kula dona maisha yako yote??Kiukweli hio dona naiskia tu natamn siku moja nionj.
Sifkirii mkuu na kma nilikula nikajue ni huu unga wa sembe tunaonunua madukniSo hujawahi kula dona maisha yako yote??
Hujawahi kukosea mrembo..Dona+muhogo na mix ya kabeji+dagaaView attachment 909674
Si unialike siku moja nije kupiga donaDona+muhogo na mix ya kabeji+dagaaView attachment 909674
Stay tuned jmos nakualika mkuuSi unialike siku moja nije kupiga dona
Niko area nikisubiri kula dona.Stay tuned jmos nakualika mkuu
[emoji3][emoji3][emoji3] ThanteeHujawahi kukosea mrembo..
UsiwazeeNiko area nikisubiri kula dona.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee wa kuremba remba.Kuna watu wanasema hii ni ya kudownload.. View attachment 910304
Kiukweli hio dona naiskia tu natamn siku moja nionj.
So hujawahi kula dona maisha yako yote??
Sifkirii mkuu na kma nilikula nikajue ni huu unga wa sembe tunaonunua madukni