Kidogo unifunike kwa my favourite food[emoji44][emoji44]Karibuni View attachment 918846
Kidogo unifunike kwa my favourite food[emoji44][emoji44]
Hii nyama ya nini jamani khadija mie
Napenda sana kupika biriani thats why. But nipo far away, Ningekufunika kwa biriani la maana na kulitupia humu.Kwanini mkuu?
Napenda sana kupika biriani thats why. But nipo far away, Ningekufunika kwa biriani la maana na kulitupia humu.
Siku nikirudi home nitakualikaMi bado napambana kulipika ila sijafanikiwa. Napenda biriani kuliko ninavyopenda wali samaki. Siku nikilipatia sijui itakuwaje.
Hapo naendaga kula ijumaa kwa Sele bonge
Siku nikirudi home nitakualika
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inshallah. I can't wait. Biriani nikialikwa hata Kigamboni nalifuata. Hahahahaa
Unaonekna uko vizur kwenye sekta ya mapishi.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Unamfahamu Jamaa anaitwa mvuto huku Mbezi?Mi bado napambana kulipika ila sijafanikiwa. Napenda biriani kuliko ninavyopenda wali samaki. Siku nikilipatia sijui itakuwaje.
Hapo naendaga kula ijumaa kwa Sele bonge
Unamfahamu Jamaa anaitwa mvuto huku Mbezi?
Ahahaa kuna Mpemba siku hyo bna akapita ofsini eti anapika biriani.nilivoona ni Mpemba nikajua itakuwa bonge la biriani.yaani nilijiandaaje.sio kila Mpemba ni mpishi wa biriani aisee mi hata uniitie Dubai biriani siendi tenaInshallah. I can't wait. Biriani nikialikwa hata Kigamboni nalifuata. Hahahahaa
Biriani la hatare.Mimi mdudu dini hairuhusuHapana mama.. anapika mdudu eeh?
Biriani la hatare.Mimi mdudu dini hairuhusu
Sijui kama lina ratiba ila anapika hatare hataree.tatizo anapumuliwa sijui Na huu msako kama amesalimika.humjui mtu anajiita mvuto wewe?Biriani mbezi??? Sijawahi sikia hilo. Biriani najuaga kwa Sele na wengine wanasemaga kwa Shilole na Esha pia wanajitahidi. Hilo la mbezi anapika lini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijui kama lina ratiba ila anapika hatare hataree.tatizo anapumuliwa sijui Na huu msako kama amesalimika.humjui mtu anajiita mvuto wewe?
Sio kila mpemba anapika biriani.Ahahaa kuna Mpemba siku hyo bna akapita ofsini eti anapika biriani.nilivoona ni Mpemba nikajua itakuwa bonge la biriani.yaani nilijiandaaje.sio kila Mpemba ni mpishi wa biriani aisee mi hata uniitie Dubai biriani siendi tena