YeahWikiendi hii..mwendo wa kujinafasi
Nmeji sponser mwenyew.Muwe mnawekaga na picha ya sponsor
Hii sasa ndio yenyewe[emoji1787]
Jesus!? Hiyo kula mwenyeweCha kudanlod... Kwa niaba ya Mwl.RCTView attachment 929484
Naona huwezagi kula without a drink!!..Nice though
Kishushio muhimu ujueNaona huwezagi kula without a drink!!..Nice though
Yaah..kweliKishushio muhimu ujue
Napendaga hii kitu sema sijui kuipika home. AmorEy Kama unajua mapishi ni PM au Kama Mimi unaisubiria mezani?[emoji3][emoji3]Home made Pizza,najaribu tu.View attachment 896207
Unakula chakula kingi sana we binti
AsanteUnakula chakula kingi sana we binti
Ndo maana mnakuwa na vitambi
Halafu hizo njugumawe mbona zina utando utando hivyo
Asante