Uzi wa vyakula tu

Haaahaaa .....jomoni unajistukia asee[emoji23] [emoji23]

Am serious huwa nakuona hapa kwenye huu uzi nifundishe na mimi basi[emoji12] [emoji12]

kama sijisikii kula nikipita humu najikuta nikiona kitu najikuta napata hamu nacho so napika nile.

Halafu huwa unaniona sababu unautembelea huu uzi kimya kimya ehee?

Unataka nikufundishe chakula gani?[emoji2]
 
kama sijisikii kula nikipita humu najikuta nikiona kitu najikuta napata hamu nacho so napika nile.

Halafu huwa unaniona sababu unautembelea huu uzi kimya kimya ehee?

Unataka nikufundishe chakula gani?[emoji2]
Mimi tambi mixer na nyama ya kusaga jamani imenishinda kupika!
 
Mimi tambi mixer na nyama ya kusaga jamani imenishinda kupika!

Kuandika maelezo sasa!!

Twin hebu niache!! Ungekua serious ningekutumia voice note ya maelezo whatsap

mimi hii nakula nikipika mwenyewe kwa mtu siwezi kuna sehemu nilikuta wameweka chumvi na sukari nilihisi tapika.
 
Kuandika maelezo sasa!!

Twin hebu niache!! Ungekua serious ningekutumia voice note ya maelezo whatsap

mimi hii nakula nikipika mwenyewe kwa mtu siwezi kuna sehemu nilikuta wameweka chumvi na sukari nilihisi tapika.
Ishhhhh.....chumvi na sukari???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kutapika muhimu asee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…