Nifundishe kupika pizza twin[emoji12] [emoji12]Nimependa jibu lako.
Nifundishe kupika pizza twin[emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jomoni twin kila siku nakuona kwenye huu uzi....kwani huwa unajua kupika nini zaidi?Ila Twin kwanini unataka kuniaibisha lakini🤣🤣🤣🤣
Kwanza sijawahi kula hiyo pizza nitajua kuipika kweli?
[emoji23] No negativity allowed this sideNimependa jibu lako.
Always positivity[emoji12][emoji23] No negativity allowed this side
Eeeh mamyAlways positivity[emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jomoni twin kila siku nakuona kwenye huu uzi....kwani huwa unajua kupika nini zaidi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]....twin kwani uko busiest eti?Ila twin mimi sitaki🤣🤣🤣 uchelewi kuniambia nikuelekeze!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]....twin kwani uko busiest eti?
Haaahaaa .....jomoni unajistukia asee[emoji23] [emoji23]🤣🤣🤣 no Twin ila sitaki kuumbuka ila twin naona unanifanyia interview kijanja
Haaahaaa .....jomoni unajistukia asee[emoji23] [emoji23]
Am serious huwa nakuona hapa kwenye huu uzi nifundishe na mimi basi[emoji12] [emoji12]
Mimi tambi mixer na nyama ya kusaga jamani imenishinda kupika!kama sijisikii kula nikipita humu najikuta nikiona kitu najikuta napata hamu nacho so napika nile.
Halafu huwa unaniona sababu unautembelea huu uzi kimya kimya ehee?
Unataka nikufundishe chakula gani?[emoji2]
Mimi tambi mixer na nyama ya kusaga jamani imenishinda kupika!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Twin kwanini unataka kuniaibisha lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza sijawahi kula hiyo pizza nitajua kuipika kweli?
Ishhhhh.....chumvi na sukari???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kutapika muhimu asee!Kuandika maelezo sasa!!
Twin hebu niache!! Ungekua serious ningekutumia voice note ya maelezo whatsap
mimi hii nakula nikipika mwenyewe kwa mtu siwezi kuna sehemu nilikuta wameweka chumvi na sukari nilihisi tapika.
Itakuwa inna unajua kupika pizza wewe[emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ishhhhh.....chumvi na sukari???[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...kutapika muhimu asee!
Itakuwa inna unajua kupika pizza wewe[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Nilivyo sipendi biriani twin[emoji30] [emoji30] [emoji30] ....Twin nifundishe kupika biriani yaani huwa linanishinda