THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,055
- 4,695
Ipo kwa mboga tayari.asante, ndimu sawa, pili pili sijaona hapo. chakula bila pilipili naona kama sijala vile
Mzee uwe unakata kucha,Weekend morning View attachment 937262
Sawa mganga.!Mzee uwe unakata kucha,
Kucha ndefu huficha uchafu
[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa mganga.!
Hii kitu kwa mama nijazie..[emoji39]
hapo sawaIpo kwa mboga tayari.
Tukaribishane mkuu
Kuku ilikuwepo kweliTukio
Send-off thing View attachment 934312
Walokwepo tele, ila mimi ckuchukuaKuku ilikuwepo kweli
Tukaribishane mkuu
Umepika mwenyew?Karibuni chakula ya home asee!
Umepika mwenyew?
Ugali, kisamvu na sato.View attachment 936879
[emoji3][emoji3]bachelor ww uko vzr!Ndio mami. Mimi mwenyewe.
Ndo umesusa sikuhz kutuletea misosiNaona leo mmevimba humu kwa misosi.