MrProsecutor
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 280
- 275
Nilikuwa naisubir msg ya hivi tu nicheke na imekuja hahahahah.Mzee uwe unakata kucha,
Kucha ndefu huficha uchafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa naisubir msg ya hivi tu nicheke na imekuja hahahahah.Mzee uwe unakata kucha,
Kucha ndefu huficha uchafu
[emoji3][emoji3]bachelor ww uko vzr!
HongeraHahahahah sanaa kwahiyo sector .
Acha utani. Hapa unakula ?
Hongera
[emoji23] hivi kwanini hizi ziliitwa chips dume ?Chipsi dumeView attachment 924187
Me nahisi kwakuwa mihogo ni migumu kama wanaume[emoji23] hivi kwanini hizi ziliitwa chips dume ?
Jitahidi kutumia glass ambazo hazijapasuka juu kwenye kingo za mdomo
Mzee nanasi halimenywi hivyo tena kwa kulishika shika na mkono wa chooni#NanaaasiView attachment 938085
Silimi Boss wangu..[emoji14] [emoji14]Acha utani. Hapa unakula ?
Mimi hpo labda niongeze vitumbua vitano.chai ya maziwa na andazi tatu
Hahaha karibu mkoani .ukija nitakufungashiaSilimi Boss wangu..[emoji14] [emoji14]
Waoooh hongera nimetamaniiiSimara nimejaribu na leo tena nimepatia kwa 90%. Next weekend nina hakika litakua tamu zaidiView attachment 937741
Waoooh hongera nimetamaniii
Nimeliona....uliweka mtindi?Asantee. Kwa mara ya kwanza nimepatia roast
Nimeliona....uliweka mtindi?
Skuizi hali hairuhusu mambo mengi.Ndo umesusa sikuhz kutuletea misosi
Ww mwenyewe inaonekana mwanaume wa Dar, sasa hicho tuwali unatuona twingi?Dah mrembo msosi wote huo unamaliza peke yako? Au upo na mr
DuhWw mwenyewe inaonekana mwanaume mwanaume wa Dar, sasa hicho tuwali unatuona twingi?
Btw naona picha nyingi ni za chips yai , mleta mada badilisha heading na iwe " Uzi wa vyakula vya Dar"
Sisi wa mikoani tunakula kumaliza na sio kushiba.