missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwanin tusikae kikao cha dharura tukabdilishna mbinu za mapishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwanin tusikae kikao cha dharura tukabdilishna mbinu za mapishi.
Mbona unacheka sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ebhana eeheeee!!!!
Aisee mke wew una mambo[emoji4] [emoji4]Kula chakula kama dawa.View attachment 938754
mwenza utakua kibonge sana punguza kula manyama
Karibu[emoji4][emoji4]Aisee mke wew una mambo[emoji4] [emoji4]
Swezi kushindwa unanjua mim.Karibu[emoji4][emoji4]
Najua apa ata kuonja utashindwa[emoji3][emoji3]
[emoji41]View attachment 938800
Bado hujakata
Hizi nyumba ndogo zinabalaaa
Nimetamani nyama na ile coke kuleeee[emoji39]
Haha huu msemo unanifurahishaga kweli eti hatuli kushiba tunakula kumalizaWw mwenyewe inaonekana mwanaume wa Dar, sasa hicho tuwali unatuona twingi?
Btw naona picha nyingi ni za chips yai , mleta mada badilisha heading na iwe " Uzi wa vyakula vya Dar"
Sisi wa mikoani tunakula kumaliza na sio kushiba.
Badala ya kumpa zawadi ya nail cutter wewe unakazi ya kuzoom tuImebidi nizoom nione kama ushakata kucha [emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]
Mamaa hii ya ukweli ukweli au ya kudownload?[emoji41]View attachment 938800
Naona unafwata nyayo za mshana[emoji41]View attachment 938800