Tuwekeeni hata picha tule kwa macho, minyoo ifurahi tumboniNipo sehemu ambayo sidhani hata watu wake kama wanajua leo ni sikukuu ya nini,zaidi ya kuona watoto wao hawajaenda shule...so siwezi hata kukukaribisha
We leo wapi??
[emoji3][emoji3][emoji3]naona mnatafuta wake wanaojua mapishi humuMisosi hii inatupagawisha sana sisi mabachelor..[emoji23][emoji23]
Baadae nitafanya hivyo for the firsr time..Tuwekeeni hata picha tule kwa macho, minyoo ifurahi tumboni
[emoji23][emoji23][emoji23]..sio unaoa mke anapika wali unakuwa kama ugali[emoji3][emoji3][emoji3]naona mnatafuta wake wanaojua mapishi humu
Wwe hujui mapishi?[emoji3][emoji3][emoji3]naona mnatafuta wake wanaojua mapishi humu
Tulia mambo mazur ynkuja.Leo sikukuu macho kila saa natupia huku nashangaa hola
NabahatishaWwe hujui mapishi?
Nakua naona kinyumenyume mwanamke kula sembe.
[emoji3][emoji3][emoji3]na kweli[emoji23][emoji23][emoji23]..sio unaona mke anapika wali unakuwa kama ugali
Nakua naona kinyumenyume mwanamke kula sembe.
[emoji23][emoji23][emoji23]..sio unaoa mke anapika wali unakuwa kama ugali
Nyinyi mnafaa kula vitu laini laini.Dona imenishinda bora nisile kabisa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Leo hampiki wala hamjaalikwa..au muda bado[emoji3]
Sasa ubaya na wengine hatuwezi kupika..tutasaidianaje sasa hapo??Muwe mnatusaidia jamani
Sasa ubaya na wengine hatuwezi kupika..tutasaidianaje sasa hapo??