Nyinyi mnafaa kula vitu laini laini.
Kumbe wew hta kupika omelet inakushinda?Sasa ubaya na wengine hatuwezi kupika..tutasaidianaje sasa hapo??
Hakuna kitu kizur kma kula chakula tasty na delicious.
Wengi wetu hula tushibe tu.
Leo unanipikia nin?[emoji3][emoji3][emoji3]na kweli
Leo tunadoea kwenu ndugu zetu waislamuLeo unanipikia nin?
Huku paka kalala jikoni leo.Leo tunadoea kwenu ndugu zetu waislamu
Uchoyo huoHuku paka kalala jikoni leo.
Nashindia maji tu hhhhh.
Si unajua siku ya leo mialiko mingi.Uchoyo huo
Hujui kitu wewe [emoji23]Nabahatisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usimwbie hvyo bna.Hujui kitu wewe [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]acha hizo basiHujui kitu wewe [emoji23]
Mwambie ntajinyonga etii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usimwbie hvyo bna.
[emoji23][emoji23][emoji23]acha hizo basi
Hutaniwii?Mwambie ntajinyonga etii
Hata vya kufowadi basi leteni khaa[emoji1]Huku paka kalala jikoni leo.
Nashindia maji tu hhhhh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nipo home kwetuNipo sehemu ambayo sidhani hata watu wake kama wanajua leo ni sikukuu ya nini,zaidi ya kuona watoto wao hawajaenda shule...so siwezi hata kukukaribisha
We leo wapi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anza wewe kutupia pilauLeo sikukuu macho kila saa natupia huku nashangaa hola
Okay..enjoy your holiday[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nipo home kwetu
HeloHata vya kufowadi basi leteni khaa[emoji1]