Uzi wa vyakula tu

hahahaha mi ndio maana naagizaga mzima kabisa maana najua nusu hafiki hata mwisho wa ulimi

Nusu kupunjana tu aisee!

Halafu nusu yao wala si nusu ya ukweli!

Ni nusu feki.

Nusu ya ukweli lazima iwe na nusu firigisi, nusu ini, na kadhalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…