Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Hahahahaa naona umemuita kabisaNice...tumsubirie tu yule jamaa wa kuitwa Joowzey aje atie neno
Hahahahaa naona umemuita kabisa
Nakusalim mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
MamboNakusalim mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sitii neno mieHahaha...kumbe nimemtag..Jamaa anajua kukosoa tu
Poa za uzimaMambo
Kumbi kumbi hao, kalibu firstlady1
Bibie kama vile tupo boarding?
Mzee baba hili kapeti letu la manyoya ndio special kwa kupigia picha za misosi?Evening Milk TeaView attachment 948517
[emoji23][emoji23][emoji23]Bibie kama vile tupo boarding?
Halafu next time ukitaka kula ugali na maharage basi hayo maharage uweke kwenye kibakuli pembeni,vinginevyo ukila hivyo ule mwenyewe maana utakula kiuchafu sana na ukimaliza sahani na mikono itakuwa haitamaniki.
Hujakosea kabisa mkuu.Mzee baba hili kapeti letu la manyoya ndio special kwa kupigia picha za misosi?
Maana naona daily location ni ile ile tu
Mzee baba hili kapeti letu la manyoya ndio special kwa kupigia picha za misosi?
Maana naona daily location ni ile ile tu
Je wajua kwamba hapo ni chini sakafuni na sio mezani?We nae bhana usitake kutuchanganya bwana we nyumbani kwako kila sehemu ni ya kulia chakula? Kuna ubaya gani kuwa na location moja ya kulia chakula
Mzee mimi nipo sudan peace keeping,Hujakosea kabisa mkuu.
Na wewe jitahidi uhame hapo kwa shemeji yako ili uweze kuwa huru kupiga picha ya vyakula unavyopika na kuvituma humu.
Anaishi kwa shemeji yake hapa mjini.We nae bhana usitake kutuchanganya bwana we nyumbani kwako kila sehemu ni ya kulia chakula? Kuna ubaya gani kuwa na location moja ya kulia chakula
Nimeizoom lkn hola, nini hii wakunyumba
shemeji umepika mwenyewe??