Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana shemeji nimekula samaki samaki..
Huo msosi ulishiba kweli? [emoji12]
God bless uBibie kama vile tupo boarding?
Halafu next time ukitaka kula ugali na maharage basi hayo maharage uweke kwenye kibakuli pembeni,vinginevyo ukila hivyo ule mwenyewe maana utakula kiuchafu sana na ukimaliza sahani na mikono itakuwa haitamaniki.
Hahahahahaaa. Nimeshiba mpaka sasa hivi... Jela sijui kama tutaweza Cc Phenomenal woman.
Huyo alikua lazima achelewe sio kwa kumix kule. Alikosa ule mzigo wake tu angeamka saa tano.Kuna mtu kachelewa kazini leo [emoji6]
Mdada uko vzr haufake fake.me nakupendaga
Asante sana mamyMdada uko vzr haufake fake.me nakupendaga
Nimemtamani huyo samaki balaa
As usual[emoji39] [emoji39] View attachment 947283
Naona wanikomesha kaka
Umenifanya niwaze kutafuta msosi kama huo na sijui nautoa wapiSubiri lunch [emoji39]
Sijui ni njaa au kitu gani natamani kitimotoAsubuhi yote hii Mshana?
Ya nyumbani hainogi sana kama ya kununuaMimechoka kununua. .leo naikaanga mwenyewe[emoji53]
View attachment 948986