Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Ikawa asubuhi nyingine ! View attachment 960045
Unakula mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawa asubuhi nyingine ! View attachment 960045
Mmh jamani...Ikawa asubuhi nyingine ! View attachment 960045
Nani hali sasa hiyo uliyosema we msukuma😂😂😂.nazungumzia ukiwa hapo bongo biriyani utapata kwa sele au ilala huko acha ubishoo wa kimagangaBiryani chakula cha Kihindi.
Ukitaka biryani halisi nenda Uhindini huko. Siyo lipikwalo na Waswahili.
Watu huwa tunakula aunthetic Hyderabad biryani wewe unaniletea mambo ya Sele Bonge.
FOH.
Nani hali sasa hiyo uliyosema we msukuma😂😂😂.nazungumzia ukiwa hapo bongo biriyani utapata kwa sele au ilala huko acha ubishoo wa kimaganga
Yeah, unasaga tu hivyo hivyo dearUnavisaga tu?
Nifundishe mwalimu wangu
No sifikagi huko sina hela mkuu wa box😛Ukiwa Bongo biryani linapatikana sehemu nyingi tu. Siyo kwa Sele peke yake au sijui huko Ilala.
Sisi wa hapa hapa [tulozaliwa Dar] sehemu za kulia biryani twazijua.
Mfano hapo Mamboz SizGrill, mtaa wa Maweni Upanga.
Mgahawa wa Wahindi [ ambako biryani ndo inatokea] huo.
Hapo unapata chicken biryani, mutton biryani, beef biryani, vegetable biryani, na kadhalika.
Ushawahi kwenda kula hapo wewe???
View attachment 960136View attachment 960137
Leo umejitahidi,tutajie mfadhili😉
No sifikagi huko sina hela mkuu wa box😛
WeweLeo umejitahidi,tutajie mfadhili[emoji6]
Yeah mimi mwenyewe [emoji4]Unakula mwenyewe?
Vipi dadaMmh jamani...
Mate tu yamenidondokaVipi dada
Ooh..! Jamani PoleeMate tu yamenidondoka
AhsanteOoh..! Jamani Polee
Huyo mdudu?
Huyo mdudu?
Aah mimi situmiiSwadaktaa