Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Biryani chakula cha Kihindi.

Ukitaka biryani halisi nenda Uhindini huko. Siyo lipikwalo na Waswahili.

Watu huwa tunakula aunthetic Hyderabad biryani wewe unaniletea mambo ya Sele Bonge.

FOH.
Nani hali sasa hiyo uliyosema we msukuma😂😂😂.nazungumzia ukiwa hapo bongo biriyani utapata kwa sele au ilala huko acha ubishoo wa kimaganga
 
Nani hali sasa hiyo uliyosema we msukuma😂😂😂.nazungumzia ukiwa hapo bongo biriyani utapata kwa sele au ilala huko acha ubishoo wa kimaganga

Ukiwa Bongo biryani linapatikana sehemu nyingi tu. Siyo kwa Sele peke yake au sijui huko Ilala.

Sisi wa hapa hapa [tulozaliwa Dar] sehemu za kulia biryani twazijua.

Mfano hapo Mamboz SizGrill, mtaa wa Maweni Upanga.

Mgahawa wa Wahindi [ ambako biryani ndo inatokea] huo.

Hapo unapata chicken biryani, mutton biryani, beef biryani, vegetable biryani, na kadhalika.

Ushawahi kwenda kula hapo wewe???

14EC724B-4971-42BF-9B78-C6EDC1E7C437.jpeg
4AEA78AB-C94A-4A03-B608-C120A08D7747.jpeg
 
Ukiwa Bongo biryani linapatikana sehemu nyingi tu. Siyo kwa Sele peke yake au sijui huko Ilala.

Sisi wa hapa hapa [tulozaliwa Dar] sehemu za kulia biryani twazijua.

Mfano hapo Mamboz SizGrill, mtaa wa Maweni Upanga.

Mgahawa wa Wahindi [ ambako biryani ndo inatokea] huo.

Hapo unapata chicken biryani, mutton biryani, beef biryani, vegetable biryani, na kadhalika.

Ushawahi kwenda kula hapo wewe???

View attachment 960136View attachment 960137
No sifikagi huko sina hela mkuu wa box😛
 
Back
Top Bottom