Ukipata blender ukawa unatengeneza kitu fresh itakuwa vizuri zaidiSasa hivi ni mwendo kama wa kwa mzee baba magogoni.
Mwendo wa juice na pipi[emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 963604
Daah miss Mungu anakuona ujue
Ni kweli kabsa boss wangu..!!Ukipata blender ukawa unatengeneza kitu fresh itakuwa vizuri zaidi
Kije mara ngapi..??[emoji1] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] subiri kitambi
Kwani huko kwenu wenzetu kila siku sikukuu[emoji85][emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madogo hukuona ugali maharage wiki yote hiiKwani huko kwenu wenzetu kila siku sikukuu[emoji85][emoji85][emoji85]
Na kweliSpesho oda ya Jr.. . Loh[emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubir ulipe [emoji85][emoji85]Dah.. [emoji39][emoji39][emoji39]
Hahahaaa tayar[emoji23][emoji23][emoji23]washa Bluetooth
Sawa bossSubiri muamalau utasoma muda si mfupi[emoji23][emoji23]
Kwa kweli sukuona mamdogo mi naona kila siku waleta vitu vitamu vitamu tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] madogo hukuona ugali maharage wiki yote hii
Bas wewe ukiona post ya ugali maharage unaipita ndo maana hujaona [emoji23][emoji23]Kwa kweli sukuona mamdogo mi naona kila siku waleta vitu vitamu vitamu tu