Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Good morning.!
078052d1e5731ba5eb0b1f1ff4f6fd91.jpeg
 
Ooh utumbo, nyama ya moo [emoji202], ya kuku, ya mbuzi na viungo mbalimbali... Ni mixer ya mchemsho... Ukishaziandaa nyama vipande vidoodogo unakuwa na jiko la umeme mezani (mko wengi) kwahiyo unatumbukiza vipande kadha kwenye sufuria halafu mnapakulia hapo hapo na kula na ugimbi pembeni
Kichina inaitwa hwo gwoo

Napenda nyama Ila hiyo sidhani kama itaingia mdomoni
 
My dear friends in this thread....
Napenda kuwafahamisha kuwa nimebadili jina from Beingsingle to Zuriel_cfc kutokana na sababu mbali mbali. So nawasihi msinione mgeni hapa, mie ni yuleyule.

Haya mu enjoy lunch zenu mie bado nasubiri kengele ipigwe [emoji23][emoji23][emoji23]

Love u all
 
My dear friends in this thread....
Napenda kuwafahamisha kuwa nimebadili jina from Beingsingle to Zuriel_cfc kutokana na sababu mbali mbali. So nawasihi msinione mgeni hapa, mie ni yuleyule.

Haya mu enjoy lunch zenu mie bado nasubiri kengele ipigwe [emoji23][emoji23][emoji23]

Love u all

Kila la kheir mpendwa.

Shukraan kwa kutujuulisha.
 
My dear friends in this thread....
Napenda kuwafahamisha kuwa nimebadili jina from Beingsingle to Zuriel_cfc kutokana na sababu mbali mbali. So nawasihi msinione mgeni hapa, mie ni yuleyule.

Haya mu enjoy lunch zenu mie bado nasubiri kengele ipigwe [emoji23][emoji23][emoji23]

Love u all
There you go..tumekuelewa Mrembo
 
Back
Top Bottom