dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Mubashara kabisaMambo mazuriiii kabisaaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mubashara kabisaMambo mazuriiii kabisaaa!!!
The hell is biriyaniWhat the hell is this??..
Okay kumbe ni biriani..ushamba huu!!The hell is biriyani
Hapo mniite tu kwamba Mwanaume wa Dar, potelea mbali lakini hujanilisha aisee!!
Hii haihusiana na wanaume wa dar wala mikoani myplusbee kuna ambao hata wa mikoani hawapendi. Mimi hapo napenda sana.Hapo mniite tu kwamba Mwanaume wa Dar, potelea mbali lakini hujanilisha aisee!!
Khaa!! Ina maana hujui kwamba suala la misosi linahusishwa sana na mtanange wa wanaume wa dar vs wanaume wa mikoani huku wale wa mikoani kushindilia miugali na miharage wakidhani ndo kuwa na miguvu!! Sa' nikiishi nyumba moja na wewe, itabidi tugawane majiko kwa kweli!!Hii haihusiana na wanaume wa dar wala mikoani myplusbee kuna ambao hata wa mikoani hawapendi. Mimi hapo napenda sana.
Wanashindilia ugali wa maharage kwa sababu ndiyo chakula kinachopatikana.Khaa!! Ina maana hujui kwamba suala la misosi linahusishwa sana na mtanange wa wanaume wa dar vs wanaume wa mikoani huku wale wa mikoani kushindilia miugali na miharage wakidhani ndo kuwa na miguvu!! Sa' nikiishi nyumba moja na wewe, itabidi tugawane majiko kwa kweli!!
Anacho kitafuta atakipataVijana kwa kujilipuaView attachment 1167896
Hapa kidogo nitakusindiza, na kama unaenda Morogoro, basi nikusindikiza angalau hadi Chalinze!! Common denominator hapo ni ugali!!Wanashindilia ugali wa maharage kwa sababu ndiyo chakula kinachopatikana.
Kijijini vyakula ni mahindi, maharage maziwa.
Kuna sehemu hata mboga za majani hazioti.
Hivyo inawalazimu kuwa ugali wa maharage, makande au ugali wa maziwa ndiyo maana.
Hahahahah wala usigawane jiko na mimi maana sipiki kila siku.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1168603
Anatafuta kukikomoa kiungo cha uzazi ambacho sitasahau siku nilipoamini "dadeki, leo nimekikomoa kweli, hanizoei zoei tena yule" kumbe ndo nikawa nimemwaga petrol kwenye moto!Anacho kitafuta atakipata
Tehtehh hatari fire..Na kitafunio pembeni... Legends wamenielewa[emoji23]
Kuna jitu linaenda kufa huko..aiseeVijana kwa kujilipuaView attachment 1167896
Halafu utasikia watu mi sili urojo kumbe hawaujui[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Mmenikumbusha maeneo yangu Tandika, lakini mi sijawahi kula[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Umeaona eeh, tena ule pale kariakoo kwa wale wamama wa srilanka ni nomaHalafu utasikia watu mi sili urojo kumbe hawaujui[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]