Uzi wa vyakula tu

Uzi wa vyakula tu

Hii haihusiana na wanaume wa dar wala mikoani myplusbee kuna ambao hata wa mikoani hawapendi. Mimi hapo napenda sana.
Khaa!! Ina maana hujui kwamba suala la misosi linahusishwa sana na mtanange wa wanaume wa dar vs wanaume wa mikoani huku wale wa mikoani kushindilia miugali na miharage wakidhani ndo kuwa na miguvu!! Sa' nikiishi nyumba moja na wewe, itabidi tugawane majiko kwa kweli!!
 
Khaa!! Ina maana hujui kwamba suala la misosi linahusishwa sana na mtanange wa wanaume wa dar vs wanaume wa mikoani huku wale wa mikoani kushindilia miugali na miharage wakidhani ndo kuwa na miguvu!! Sa' nikiishi nyumba moja na wewe, itabidi tugawane majiko kwa kweli!!
Wanashindilia ugali wa maharage kwa sababu ndiyo chakula kinachopatikana.
Kijijini vyakula ni mahindi, maharage maziwa.
Kuna sehemu hata mboga za majani hazioti.
Hivyo inawalazimu kuwa ugali wa maharage, makande au ugali wa maziwa ndiyo maana.

Hahahahah wala usigawane jiko na mimi maana sipiki kila siku.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20190731_192312_849.JPG
 
Wanashindilia ugali wa maharage kwa sababu ndiyo chakula kinachopatikana.
Kijijini vyakula ni mahindi, maharage maziwa.
Kuna sehemu hata mboga za majani hazioti.
Hivyo inawalazimu kuwa ugali wa maharage, makande au ugali wa maziwa ndiyo maana.

Hahahahah wala usigawane jiko na mimi maana sipiki kila siku.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1168603
Hapa kidogo nitakusindiza, na kama unaenda Morogoro, basi nikusindikiza angalau hadi Chalinze!! Common denominator hapo ni ugali!!
 
Back
Top Bottom