Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
. Niko vzr sana
. Niko vzr sana
. Niko vzr sana
Mkuu hiyo meza imeenea kweli kweli shonga za kutosha miksa marotarota [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Kibukoba zaidi
Inawezekana ndio maana wabongo akili fyatu fyatu kwasababu ugali ndio main dish huku uswazi
Nimetamani hii
Kitu wanaume wa dar wanakula....ptuuuu
Haya si yale maminyoo yanakaaga kwenye mbolea ya ng'ombe na ngurue?
Hawa ni prawnsHaya si yale maminyoo yanakaaga kwenye mbolea ya ng'ombe na ngurue?