msomi kutoka znz
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 650
- 2,962
If u only knew what it wasKitu wanaume wa dar wanakula....ptuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If u only knew what it wasKitu wanaume wa dar wanakula....ptuuuu
Nilikua nauliza tu mkuu manaake vinafananaMmh kitu kama hukijui ni vema tu kukaa kimya
Hii mbeya nn mkuu?
Wapendwa karibuni
Mama hi ni blubendi?!![]()
Home made..tamu.
Karibu sanaKwa vyuma vilivyokaza hvi huu uzi uko pahala salama. Ntakua nautembelea asubuh, mchana na usiku ili kujifariji.
Wazo zuri. Ila wengine twapikiwaIla nadhan pia watu wangekua wanatoa namna ya mapishi ingependeza sana kuliko kuweka picha peke yake. Tungepata maujanja ya kupika badala ya kwenda kula migahawani.
Mama hi ni blubendi?!
Safi sana.umekwiva, na hio packaging ni matata. hi kitu nkipata ntafurahi Sana.Hapana dear..ni mchanganyiko wa parachichi, embe lililoiva, maziwa na vanilla kidogo. Nikagandisha ndio inaonekana hivyo.
Safi sana.umekwiva, na hio packaging ni matata. hi kitu nkipata ntafurahi Sana.
Sawa nkiweza ntakutag hapa kwenye nyuzi za vyakulaAhahah mbona unaweza tengeneza hata wewe..ni rahisi.