Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120]Karibu Zanzibar tunywe juis ya AlmondUwiii nimeboronga kwenye kutype ...lahaullah
Almond milk..mweh
Ivi inakuaje marage na nyama huu si ulaji,na madaga juu,mboga za majani aina mbili kwani moja haitoshi??,hifadhi mboga kwajili ya kesho afu kua Kama msomi uwezi weka ma protein juu ya protein mkuu
Hii umeiba insta hii [emoji3][emoji3][emoji3] au wewe ndo ulikua mwagizaji
Utatumaliza aiseeSometimes you just have to spoil yourself up
Umepikaje aisee mbona me kila nikijaribu nashindwa
Sawa docta lisheIvi inakuaje marage na nyama huu si ulaji,na madaga juu,mboga za majani aina mbili kwani moja haitoshi??,hifadhi mboga kwajili ya kesho afu kua Kama msomi uwezi weka ma protein juu ya protein mkuu
Jirekebishe bana!!! SI unakuja kutujambia maofisini kisa ulaji wa hovyoSawa docta lishe
Yaani kuna vyakula siwezi kula hata niambiwe vina nini mwilini kama mende khaaaa labda ningezoweshwa toka mdogo il akwa umri huu siwezi tena maana nikiwaza kule chooni mweeehTupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee tupia tuu kiwe kibaya au kizuri leta tu hapa, tuwatamanishe watoke miudenda wale kulakula[emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 566179View attachment 566180
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mwaya[emoji120][emoji120][emoji120]Karibu Zanzibar tunywe juis ya Almond
Wewe post chakula mengine achana nayo.Hii umeiba insta hii [emoji3][emoji3][emoji3] au wewe ndo ulikua mwagizaji
Nilipika kawaida tuu ,Ukijaribu kupika nini unashindwa?Umepikaje aisee mbona me kila nikijaribu nashindwa
Taratibu, mama 😄Utatumaliza aisee
Sawa docta lishe
Abeee...Hapo mniite tu kwamba Mwanaume wa Dar, potelea mbali lakini hujanilisha aisee!!
Vipi tena my Angel 💕💙!!Abeee...
unanitakaje😀?Unajua kupika, nakutaka![emoji1][emoji1][emoji1]